1. 1

    Zuchu - Sukari

  2. 2

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  3. 3

    Zuchu - Kwikwi

  4. 4

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  5. 5

    Zuchu - Chapati

  6. 6

    Zuchu - Utaniua

  7. 7

    Zuchu - Antenna

  8. 8

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  9. 9

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  10. 10

    Zuchu - Wana

  11. 11

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  12. 12

    Zuchu - Jaro

  13. 13

    Zuchu - Nani

  14. 14

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  15. 15

    Zuchu - Nisamehe

  16. 16

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  17. 17

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  18. 18

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  19. 19

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  20. 20

    Zuchu - Hakuna Kulala

  21. 21

    Zuchu - Hasara

  22. 22

    Zuchu - Honey

  23. 23

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  24. 24

    Zuchu - Kwaru

  25. 25

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  26. 26

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  27. 27

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  28. 28

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  29. 29

    Zuchu - Napambana

  30. 30

    Zuchu - Naringa

  31. 31

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  32. 32

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  33. 33

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  34. 34

    Zuchu - Raha

  35. 35

    Zuchu - Shika

  36. 36

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  37. 37

    Zuchu - Yalaaaa

  38. 38

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

Zuchu

Sisi ndo wale wale
Mlio tukataa
Mkasema hatufiki mbalee
(Na simba lamaa)
Sasa tumejipata
Ni Zuchu chu chu chu chu

Hehehee!
(Ayo Trone)
Ai wewee
Troni
Heee!

Ayayayaya
Ulivyonipiga juju
Ulidhani nitagwaya
Hukujua nina Mungu
Ayayayaya
Eti nile chukuchuku
Mambo yangu yako sawa
Nishashiba kukukuku
Heee!

Chote ni choyo na sijalii
Ndio kina waumiza
Na Mungu wangu (na Mungu wangu)
Yu ngangari
Cheza nami atawamaliza

Karibu ntanunua gari nakuja kwenu
Itaneni muambizane mje mjae (mama sumaaa)
Maisha yangu ya bei ghali kuliko yenu
Mi ndo yule mlikatazwa msicheze nae

Sisi ndo nani
Sisi ndo wale wale
(Sisi ndo wale wale)
Mlio tukataa
(Mlio tukataa)
Mkasema hatufiki mbalee
(Jamani Mungu si athumani)
Sasa tumejipata
(Aii aaah hee)

Sisi ndo wale wale
(Sisi ndo wawawawa)
Mlio tukataa
(Mlio tukataa)
Mkasema hatufiki mbalee
(Jamani Mungu si athumani)
Sasa tumejipata

Aritikitiki tikitiki
Eeh rikiti tikiti
Tikiti tikiti
Tikiti tikiti
Heee!
Arerererere
Are tokoto tokoto
Tokoto tokoto
Tokoto tokoto
Heee!

Oooh eti ntakufa
(Kwani we utaishi milele)
Nilipozitafuta
(Mbona mliniacha mwenyewe)
Hizo chuki na pupa ooh
(Ndo zinofanya mchelewe)
Oooh kwa kushinda kutwa
(Roho mbaya na viherehere)

Hee na mwaka huu mtaisaga rumba (eh kwanini)
Maana nimemowomba Mungu mpaka nyumba (ay!)
Na mjiandae kwa sare za ndoa sio uchumba (eh waganga)
Waganga wenu wambieni wakoleze ndumba

Aeee oh!
Oh binadamu ni waajabu sana (jaabu sana)
Wana maneno ya kukatisha tamaa
Binadamu ni waajabu sanaaa
Wana matendo ya kuumiza sana

Walisema eti nna nuksi ya senti (kapachuka)
Nyota yangu ya boda ya kwao ya jeti
Nani wa kunidate bega kama kenchi
Kudadeki zenu asa mbona mnakechi
Oooh sisi ndo walewale!

Sisi ndo wale wale
(Sisi ndo wale wale)
Mlio tukataa
(Mlio tukataa)
Mkasema hatufiki mbalee
(Jamani Mungu si athumani)
Sasa tumejipata
(Aii aaah hee)

Sisi ndo wale wale
(Sisi ndo wawawawa)
Mlio tukataa
(Mlio tukataa)
Mkasema hatufiki mbalee
(Jamani Mungu si athumani, jamani)
Sasa tumejipata

Aritikitiki tikitiki
Eeh rikiti tikiti
Tikiti tikiti
Tikiti tikiti
Heee!
Arerererere
Are tokoto tokoto
Tokoto tokoto
Tokoto tokoto
Heee!

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados