1. 1

    Zuchu - Sukari

  2. 2

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  3. 3

    Zuchu - Kwikwi

  4. 4

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  5. 5

    Zuchu - Chapati

  6. 6

    Zuchu - Utaniua

  7. 7

    Zuchu - Antenna

  8. 8

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  9. 9

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  10. 10

    Zuchu - Wana

  11. 11

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  12. 12

    Zuchu - Jaro

  13. 13

    Zuchu - Nani

  14. 14

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  15. 15

    Zuchu - Nisamehe

  16. 16

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  17. 17

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  18. 18

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  19. 19

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  20. 20

    Zuchu - Hakuna Kulala

  21. 21

    Zuchu - Hasara

  22. 22

    Zuchu - Honey

  23. 23

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  24. 24

    Zuchu - Kwaru

  25. 25

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  26. 26

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  27. 27

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  28. 28

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  29. 29

    Zuchu - Napambana

  30. 30

    Zuchu - Naringa

  31. 31

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  32. 32

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  33. 33

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  34. 34

    Zuchu - Raha

  35. 35

    Zuchu - Shika

  36. 36

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  37. 37

    Zuchu - Yalaaaa

  38. 38

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

Nimezama (feat. D Voice)

Zuchu

Hhm, habibi nikuulize swali, kipi cha kukuongeza
Kama unaona bado sema kilichopungua
Vingine vyote tayari madeko kunidekeza
Umeniwezea haapo chali mi ushaniuwa
Penzi lako mradi naweza kulikopea
Mamlaka yenye kodi watudai na fidia

Ah! Maana raha zimezidi paka zanimwagikia
Hmm! Maana raha zimezidi paka zanimwagikia

Ufukweni
Ufukweni mwa bahari (ah! Mikono)
Mikono tumeshikana (ah! Mawimbi)
Mawimbi yameshamiri (Nyoyo zime!)
Nyoyo zimesemezana

Kwako nimezama
Kwako nimezama
Kwako nimezama
Kwako nimezama

Aah! Upande kanga ukinivalia
Kiunoni shanga zinachungulia
Ndo ugonjwa wangu, ndo ugonjwa, wa ah!
Wala siendi kwa mganga wakaniibia
Mama nyakanga nimemrithia
Sio shida zangu, sio shida zaa
Na ah! Huba lako biriani
Lenye shombo shombo ya mbuzi
Aiy napenda unavyonisifu laini
Ah! Nafaa kwa matumizi

Ufukweni
Ufukweni mwa bahari (ah! Mikono)
Mikono tumeshikana (ah! Mawimbi)
Mawimbi yameshamiri (Nyoyo zime!)
Nyoyo zimesemezana

Kwako nimezama (kwako nimera niko rarara)
Kwako nimezama (kwako nime nimezaama)
Kwako nimezama (oh nimezaa nimezaama)
Kwako nimezama (kwako nime eeeh eeh zama)

Hili penzi limemshindwa shetwani mkaa kichwani
Mtaliweza nyinyi wapambe wakaa vibarazani
Hili penzi limemshindwa shetani mkaa kichwani
Mtaliweza nyinyi wapambe wakaa vibarazani

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados