1. 1

    Zuchu - Sukari

  2. 2

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  3. 3

    Zuchu - Kwikwi

  4. 4

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  5. 5

    Zuchu - Chapati

  6. 6

    Zuchu - Utaniua

  7. 7

    Zuchu - Antenna

  8. 8

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  9. 9

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  10. 10

    Zuchu - Wana

  11. 11

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  12. 12

    Zuchu - Jaro

  13. 13

    Zuchu - Nani

  14. 14

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  15. 15

    Zuchu - Nisamehe

  16. 16

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  17. 17

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  18. 18

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  19. 19

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  20. 20

    Zuchu - Hakuna Kulala

  21. 21

    Zuchu - Hasara

  22. 22

    Zuchu - Honey

  23. 23

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  24. 24

    Zuchu - Kwaru

  25. 25

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  26. 26

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  27. 27

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  28. 28

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  29. 29

    Zuchu - Napambana

  30. 30

    Zuchu - Naringa

  31. 31

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  32. 32

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  33. 33

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  34. 34

    Zuchu - Raha

  35. 35

    Zuchu - Shika

  36. 36

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  37. 37

    Zuchu - Yalaaaa

  38. 38

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

Nani (feat. D Voice)

Zuchu

Eeh zombie acha iyo!

He one two one two eh maiki cheki (maiki cheki)
Tunajump jump eh kama kitenesi
Eeh! Kama kalambwanda nda nda kalambwasi
Na kama huna msambwandaa usiingie kati (aye)

Alulue alulue (alulue alulue)
Aah kama mtu hachezi mzabue (tumzabue tumzabue)
Sema alulue alulue (alulue alulue)
Kama mtu hachezi tumtoe (tumtoe tumtoe)

Eeh nani anaweza kulicheza sagarumba
Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba

Nasema mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Mafta ta mafta ta mafta ta
Yamemwagika yamemwagika yamemwagika

Mpaka chini mpaka chini mpaka chini
Aaamina amina na mwajuma
Wanaringa hawa kima

Kumbe wanauzaa
Usiseme hivyoo
Kilode kilode kilode

Watoto wadogo wanataka nipotee
Haa! Labda nifukiwe chini wala wasiwaongope
Hee! Shindo langu mimi mjikusanye wote

Haya sema shkamoo dada (shkamo dada)
Shkamoo kaka (shkamo kaka)
Mniamkie shkamoo mama (shkamo mama)
Shkamoo baba (shkamo baba)

Alulue alulue (alulue alulue)
Ukiona hachezi mzabue (tumzabue tumzabue)
Sema alulue alulue (alulue alulue)
Haa! Kama mtu hachezi tumtoee (tumtoe tumtoe)

Eeh nani anaweza kulicheza sagarumba
Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba

Nasema mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Aah twende mafta taa mafta taa mafta ta (yana ninii)

Yamemwagika yamemwagika yamemwagika (eti mpaka wapi)
Mpaka chini mpaka chini mpaka chini (mama)

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados