1. 1

    Zuchu - Sukari

  2. 2

    Zuchu - Litawachoma (feat. Diamond Platnumz)

  3. 3

    Zuchu - Kwikwi

  4. 4

    Zuchu - WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

  5. 5

    Zuchu - Chapati

  6. 6

    Zuchu - Utaniua

  7. 7

    Zuchu - Antenna

  8. 8

    Zuchu - Love (feat. Adekunle Gold)

  9. 9

    Zuchu - Nyumba Ndogo

  10. 10

    Zuchu - Wana

  11. 11

    Zuchu - Ashua (feat. Mbosso)

  12. 12

    Zuchu - Jaro

  13. 13

    Zuchu - Nani

  14. 14

    Zuchu - Nimezama (feat. D Voice)

  15. 15

    Zuchu - Nisamehe

  16. 16

    Zuchu - Attention (feat. Whozu)

  17. 17

    Zuchu - BamBam (feat. D Voice)

  18. 18

    Zuchu - Cheche (feat. Diamond Platnumz)

  19. 19

    Zuchu - For Your Love (feat. Mbosso)

  20. 20

    Zuchu - Hakuna Kulala

  21. 21

    Zuchu - Hasara

  22. 22

    Zuchu - Honey

  23. 23

    Zuchu - I Miss You (feat. Rayvanny)

  24. 24

    Zuchu - Kwaru

  25. 25

    Zuchu - Mauzauza (feat. Khadija Kopa)

  26. 26

    Zuchu - Mtasubiri (feat. Diamond Platnumz)

  27. 27

    Zuchu - Nani (feat. D Voice)

  28. 28

    Zuchu - Nani (remix) (feat. Innoss'B)

  29. 29

    Zuchu - Napambana

  30. 30

    Zuchu - Naringa

  31. 31

    Zuchu - Nobody (feat. Joeboy)

  32. 32

    Zuchu - Number One (feat. Rayvanny)

  33. 33

    Zuchu - Quarantine (feat. WCB Wasafi, Queen Darleen, Lava Lava, Mbosso, Rayvanny & Diamond Platnumz)

  34. 34

    Zuchu - Raha

  35. 35

    Zuchu - Shika

  36. 36

    Zuchu - Tanzania Ya Sasa

  37. 37

    Zuchu - Yalaaaa

  38. 38

    Zuchu - Zawadi (feat. Dadiposlim)

Nani

Zuchu

Eeh zombiee acha iyo!

He one two one two eh maiki cheki (maiki cheki)
Tunajump jump eh kama kitenesi
Eh! Kama kalambwanda nda nda kalambwasi
Na kama huna msambwandaa usingie kati (ayee)

Alulue aluluee (alulue aluluee)
Aah kama mtu hachezi mzabue (tumzabue tumzabue)
Sema alulue alulueee (alulue aluluee)
Kama mtu hachezi tumtoee (tumtoe tumtoe)

Eh nani anaweza kulicheza sagarumba
Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba
Nasema mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Maftaaa ta mafta taa mafta taaa
Yamemwagika yamemwagika yamemwagika
Mpaka chini mpaka chini mpaka chini
Amina amina na mwajuma
Wanaringa hawa kima
Kumbe wanauza
Usiseme hivyo

Kilode kilode kilodee
Watoto wadogo wanataka nipotee
Haa! Labda nifukiwe chini wala wasiwaongopee
Hee! Shindo langu mimi mjikusanye wote
Haya sеma shkamoo dada (shkamoo dada)
Shkamoo kaka (shkamoo kaka)
Mniamkie shkamoo mama (shkamoo mama)
Shkamoo baba (shkamoo baba)

Alulue aluluee (alulue aluluee)
Aah kama mtu hachеzi mzabue (tumzabue tumzabue)
Sema alulue aluluee (alulue aluluee)
Kama mtu hachezi tumtoee (tumtoe tumtoe)

Eh nani anaweza kulicheza sagarumba
Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba
Nasema mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Aah twende maftaaa taa mafta taa mafta ta (yana nini)
Yamemwagika yamemwagika yamemwagika (eti mpaka wapi)
Mpaka chini mpaka chini mpaka chini (mamaaa)

Playlists relacionadas Ver mais playlists

Momentos

O melhor de 3 artistas combinados